• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Somalia imetangaza uvamizi wa nzige ni suala la dharura la Kitaifa

    (GMT+08:00) 2020-02-03 20:14:50
    Somalia imetangaza uvamizi wa nzige ni suala la dharura ya kitaifa.

    Katika taarifa kwa waandishi wa habari, serikali ya Somalia imeitisha uvamizi wa nzige kuwa tishio kali kwa usalama wa chakula wa kitaifa.

    Ilitarajiwa kuongezeka kwa uvamizi wa nzige kunaweza kuathiri msimu mpya wa upandaji nchini.

    Waziri wa Kilimo wa Somalia Said Hussein amesema kuwa Serikali imejitolea kulinda watu wao na kulinda usalama wa chakula kupitia njia zote muhimu.

    Akendlea kusema Ikiwa hatutachukua hatua sasa, tunaweka pata hatari kubwa ya chakula ambayo

    Kulingana na Hussein, Mogadishu ameweka hatua za kupunguza hatari kwa ufuatiliaji, ukusanyaji wa data, taarifa za wakati na shughuli za kudhibiti.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako