Baadhi ya sekta hizo ni maegesho ya magari haswa nje ya maduka ya jumla, ulipaji karo ya shule, hapa shule za mashinani zikiathirika pakubwa. Sekta nyingine ni wauzaji bidhaa reja reja, makanisani na maeneo ya vyakula. Licha ya ugumu unaoshuhudiwa katika baadhi ya maeneo haya, serikali imezidi kuwaraia Warwanda kukumbatia mfumo wa kulipia bidhaa na huduma pasipo kutumia pesa taslimu ila kwa malipo ya simu au kadi.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |