Wachimba madini wawili wamekufa na wengine 20 wamekwama baada ya kubomokewa na shimo katika mgodi wa dhahabu nchini Zimbabwe. Janga hilo lilitokea juzi usiku kwenye mgodi wa Globe and Phoenix ulioko sehemu ya Kwekwe, umbali wa kilomita 200 na kusini na magharibi mwa Harare, mji mkuu wa nchi hiyo.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |