• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • IMF yaomba Uganda Fanya Bajeti ya Kitaifa ya kweli

    (GMT+08:00) 2020-02-07 20:02:15
    Mfuko wa Fedha wa Kimataifa (IMF) imeambia serikali ya Uganda kuhakikisha inafanya bajeti ya kweli ili kuepukana na deni zaidi wakati wa mwaka wa fedha.

    Katika msaada mwingine wa sera ya kiufundi, IMF pia imeishauri serikali kuweka kipaumbele utekelezaji wa mkakati mpya wa uhamasishaji mapato ya ndani, inayolenga kuongezeka kwa uwiano wa ushuru hadi Mapato ya Taifa GDP kwa asilimia 0.5 kwa mwaka.

    Ushauri huo wa IMF unakuja wakati serikali inapambana kupata mapato ya ndani kufadhili bajeti ya 2019/20, ambayo tayari imeona serikali ikikabiliwa na upungufu wa ukusanyaji wa mapato wa zaidi ya Sh bilioni 600 kwa sababu ya kuchelewesha utekelezaji wa hatua za ushuru wa ndani .

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako