Rais Kenyatta anapuuzia uvumi kwamba Kenya inajiondoa katika Mkataba wa Biashara Huria ya Bara la Afrika.
Amesema mpangilio mpya na Amerika unakusudia kukuza na kuongeza biashara sio tu na Kenya lakini pia na nchi zingine za Afrika.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |