• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Makubaliano ya biashara mpya ya Marekani-Kenya  hayata athiri AfCFTA

    (GMT+08:00) 2020-02-07 20:03:28
    Rais Kenyatta na Trump wamesema makubaliano ya biashara mpya yatasaidia kuongeza idadi ya biashara na uwekezaji kati ya Kenya na Amerika.

    Rais Kenyatta anapuuzia uvumi kwamba Kenya inajiondoa katika Mkataba wa Biashara Huria ya Bara la Afrika.

    Amesema mpangilio mpya na Amerika unakusudia kukuza na kuongeza biashara sio tu na Kenya lakini pia na nchi zingine za Afrika.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako