• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Serikali yaagiza ndege 3 Kupambana na nzige

    (GMT+08:00) 2020-02-10 20:19:40
    Serikaliya Tanzania imesema tayari imeajiri ndege tatu za kwa matayarisho ya kunyunyiza dawa kama kutakuwa na uvamizi nzige ambao wameonekana kuingia nchini Afrika Mashariki katika wiki za hivi karibuni.

    Waziri wa Kilimo Japhet Hasunga amesema ndege mbili zitatoka kwa Shirika la Kudhibiti nzige kwa Jumuiya ya Afrika Mashariki (DLCO-EA) na moja kutoka kwa Shirika lililoko Zambia la Kudhibiti nzige wekundu ya Afrika ya Kati na Afrika Kusini (IRLCO-CSA).

    Serikali imechukua tahadhari zote za kupambana na nzige ambao hadi sasa hawajavamia nchi ya Tanzania.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako