• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Rwanda yatangaza bei ya Mahindi

    (GMT+08:00) 2020-02-11 18:47:04
    Wizara ya Viwanda na Biashara imetangaz abei mpya ya mahindi katika msimu huu wa mavuno kuwa faranga 223 kwa kilo moja, ikiwa ni ongezeko la asilimia sita. Bei hiyo mpya iliyopokewa kwa shangwe na wakulima, imetokana na kuwepo upungufu wa mahindi kuanzia Septemba mwaka jana, hadi Januari mwaka huu.

    Upungufu huo unatokana na ukameulioikumba nchi hiyo na kusababisha upungufu wa zao hilo msimu wa mwaka jana.

    Mavuno ya mahindi katika msimu wa kwanza mwaka huu, yalianza katikati ya Januari na utamalizika Machi mwaka huu.

    Kulingana na Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wakulima nchini Rwanda, kwa wastani uwekezaji wa wakulima kwa hekta ni faranga 700,000 hadi faranga 900,000.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako