• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Polisi wa Misri wawaua magaidi 17 katika eneo la Sinai Kaskazini

    (GMT+08:00) 2020-02-12 09:56:25

    Wizara ya mambo ya ndani ya Misri imesema kikosi cha polisi cha nchi hiyo kimewaua magaidi 17 katika mapigano yaliyotokea katika mkoa wa Sinai Kaskazini nchini humo. Wizara hiyo imetoa taarifa ikisema, idara ya usalama ya taifa imepata habari kuhusu maficho ya kundi la kigaidi kilichoko katika eneo la al-Obaidat mjini Arish. Katika mapigano hayo silaha na nabomu pia vilikamatwa.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako