• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Shambulizi la makombora lililofanywa na kundi la Houthi dhidi ya kituo cha jeshi la serikali ya Yemen lasababisha vifo vya watu watatu

    (GMT+08:00) 2020-02-12 09:58:35

    Ofisa wa idara ya usalama ya Yemen amesema, kituo cha jeshi la serikali ya nchi hiyo kilichoko mkoani Abyan, kusini mwa nchi hiyo kimeshambuliwa kwa makombora yaliyorushwa na kundi la Houthi, na askari watatu wamefariki na wengine 15 wamejeruhiwa kwenye shambulizi hilo. Lakini kundi la Houthi halijasema kama limehusika na shambulizi hilo.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako