• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Baraza la Seneti la Marekani lapitisha muswada kumzuia rais wa nchi hiyo kufanya vita dhidi ya Iran

    (GMT+08:00) 2020-02-14 19:04:47

    Baraza la Seneti la bunge la Marekani limepitisha muswada unaolenga kumzuia rais Donald Trump wa nchi hiyo kuchukua hatua za kijeshi dhidi ya Iran.

    Baraza hilo lilipitisha mswada huo jana kwa kura 55 za ndiyo na kura 45 za hapana, huku wanachama 8 wa Republican walipiga kura za ndiyo. Muswada huo ulisisitiza kuwa rais Trump hawezi kuchukua hatua za kijeshi bila ya ridhaa ya bunge.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako