Kampuni hiyo tayati ilikuwa imenunua leseni kutka kwa kampuni ya Barrick Gold ya Canada za kuendesha shughuli kwenye eneo hilo.
Fedha hizo zitatumika kwa zaidi ya miaka mitatu.
Kampuni ya Shanta inanunua operesheni za Magharibi mwa Kenya kutoka kwa Barrick Gold kwa gharama ya jumla ya dola milioni 14.5 (Sh1.4 bilioni).
Makubaliano ya ununuzi huo yanatarajiwa kukamilika katikati ya mwaka huu.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |