Msemaji wa wizara ya mambo ya nje ya China Bw. Geng Shuang amethibitisha kuwa, wataalamu wa kigeni kutoka kikundi cha mseto cha wataalamu wa China na Shirika la Afya Duniani (WHO) wamewasili hapa Beijing, wakiwemo wataalamu kutoka Marekani.
Ameongeza kuwa kikundi hicho kimeanzisha shughuli husika na kitaenda kufanya uchunguzi hapa Beijing, mkoani Guangdong na Sichuan.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |