Rais Xi Jinping wa China ametoa wito wa kufuatiliwa kwa makini zaidi ulinzi na huduma kwa wafanyakazi wa afya ili kuhakikisha wana afya njema na wanafanya kazi kwa makini ili kushinda vita dhidi ya mlipuko wa ugonjwa wa virusi vya korona.
Rais Xi amesema hayo katika maagizo aliyoyatoa hivi karibuni katika kuwalinda wafanyakazi wa afya wanaoshiriki katika juhudi za kukinga na kudhibiti mlipuko wa virusi vya korona.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |