Rais Xi Jinping wa China amesema, nchi za Afrika kuiunga mkono China katika vita dhidi ya mlipuko wa virusi vya korona kumeonyesha wazi urafiki wa kindugu wa kushirikiana katika shida na raha, pia kusaidiana kati ya China na nchi za Afrika.
Rais Xi amesema hayo alipozungumza kwa njia ya simu na Waziri Mkuu wa Ethiopia, Abuy Ahmed hii leo.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |