Misri imefanya mazishi ya heshima za kijeshi ya aliyekuwa rais wa nchi hiyo Hosni Mubarak aliyefariki Jumanne akiwa na umri wa miaka 91. Mwili wa rais huyo wa zamani ulisafirishwa kwa ndege kwenye msikiti ulioko mashariki mwa New Cairo, ambako mazishi yake yalifanyika.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |