Hadi kuchaguliwa kwake, Kilavuka alikuwa akikaimu nafasi hiyo tangu Disemba 16, kufuatia kuondoka kwa Sebastian Mikos.
Pia alikuwa ni Mkurugenzi Mtendaji wa shirika la Jambojet linalomilikiwa na Kenya Airways.
Tayari, Kenya Airways inatarajiwa kutangaza hasara ya shilinhgibilioni Ksh.9.5 na shirka hilo limekuwa likishindwa kupata ufanisi katika oparesheni zake.
Kilavuka ana uzoefu wa zaidi ya miaka 23 katika uongozi baada ya kufanya kazi katika sekta mbali mbali ikiwa ni pamoja na mikakati na kifedha.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |