Wizara ya Mambo ya Nje ya China imesema mjumbe wa ofisi ya siasa ya Kamati Kuu ya Chama cha Kikomunisti cha China ambaye pia ni mkurugenzi wa ofisi ya Tume ya Mambao ya Kigeni ya Kamati hiyo Bw. Yang Jiechi atafanya ziara katika nchi za Tajikistan, Uzbekistan na Kazakhstan kuanzia kesho hadi Jumatano ijayo.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |