Shirika hilo limesema kwenye taarifa kwamba usitishaji huo unaanza kutekelezwa tarehe 13 Machi hadi 30 Aprili.
Kenya imethibitisha tukio la kwanza la korona Ijumaa na tayari serikali imetangaza hatua kadhaa za kuikabili ikiwa ni pamoja na kufuta mikutano yote na kupunguza safari za nje ya nchi.
Kenya Airways imesema inaendelea kudumisha ukaguzi na usafi wa hali ya juu kwa wafanya kazi na wasafiri wote.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |