Mradi huo ulianzishwa ili kuboresha kilimo cha kisasa nchini Rwanda na kuboresha zaidi maisha wakulima wadogo.
Kwa jumla Mradi huo una mifumo 73 ya kumwagilia maji kwenye eneo la hekta 1,173 na kunufaisha wakulima 2,099 wadogo.
Akizindua mradi huo rasmi rais Paul Kagame amesema kuunganisha kilimo na uhifadhi kumeleta mabadiliko makubwa katika maisha ya wakaazi ambao awali walitegemea misaada tu.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |