Kaimu mkurugenzi mkuu wa Mamlaka ya kilimo na chakula wa Kenya AFA Bw. Anthony Muriithi, amesema mapato ya mazuo ya maua katika nchi za nje kwa mwaka jana yalifikia dola bilioni 1.37 za kimarekani, yakipungua kutoka dola bilionia 1.47 za kimarekani za mwaka juzi. Amesema, kupungua huko kunatokana na kupungua kwa usafirishaji nje wa maua na mboga.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |