Mamlaka ya Bandari nchini yalikuwa na lita 396,000 za ethanol katika bandari ya Mombasa na kwenye baadhi ya matawi yake.
Serikali imeagiza kampuni husika kutengeneza vieuzi na kuwasambazia wakenya wote bila malipo. Tayari kampuni za kutengeneza mafuta zimeitikia wito huu .
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |