Kampuni ya GSM ambayo ni sehemu ya wadhamini wa Yanga SC imeiandikia barua klabu hiyo na kueleza kuwa imesitisha huduma zote ilizokuwa inazitoa kwa club hiyo nje ya mkataba wao kwa sababu ya kutuhumiwa kuwa inapora madaraka ya viongozi wa Yanga.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |