• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Angola kuingia katika hali ya dharura kesho

    (GMT+08:00) 2020-03-26 10:58:38

    Rais João Manuel Gonçalves Lourenço wa Angola ametoa amri ya rais ikitangaza kuwa nchi hiyo itaingia katika hali ya dharura kuanzia kesho, ili kukabiliana na maambukizi ya COVID-19. Amri hiyo imesema, kutokana na hali ya sasa ya maambukizi ya COVID-19, nchi hiyo itaingia katika hali ya dharura ya siku 15.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako