Wizara ya afya na elimu ya matibabu ya Iran imeripoti kuwa idadi ya vifo vinavyotokana na maambukizi ya virusi vya Corona nchini humo imefikia 2,077, huku idadi ya watu waliothibitishwa kuambukizwa virusi hivyo ikiongezeka hadi kufikia 27,017, na 9,624 kati yao wamepona.
Iran ambayo ilithibitisha maambukizi ya kwanza Februari 19, ni nchi inayoathiriwa zaidi na virusi vya Corona katika eneo la Mashariki ya Kati mpaka sasa.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |