• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Rais Xi atoa wito kwa nchi za G20 kuchukua hatua za pamoja ili kuinua ari ya kufufuka kwa uchumi wa dunia

    (GMT+08:00) 2020-03-26 21:41:21

    Rais Xi Jinping wa China ametoa wito kwa nchi wanachama wa kundi la G20 kuchukua hatua za pamoja ikiwemo kupunguza na kusamehe ushuru wa forodha, kufuta vizuizi vya kibiashara na kurahisisha shughuli za biashara, hali ambayo itatoa ishara yenye nguvu ili kuinua ari ya kufufuka kwa uchumi wa dunia.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako