Kati ya miradio hiyo, 28 mikubwa ya zaidi ya dola bilioni 22 ilisainiwa kwenye maeneo ya ujenzi na miradi 124 yenye thamani ya jumla ya Yuan bilioni 280 ikasainiwa mtandaoni.
Miradi hiyo iko katika sekta ya sayansi ya ujasusi, matibabu, usafiri wa anga za juu, nishati mpya, huduma za kifedha, rejareja na huduma za biashara.
Thamani ya miradi yote kutoka nje ilikuwa zaidi ya dola bilioni 16 za Kimarekani
Aidha mamlaka ya mji wa Shanghai ilizindua jukwaa la kukuza uwekezaji ambalo lina habari kuhusu sera muhimu 400, maeneo 200 ya viwandani na majengo 3,000 ya ofisi.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |