Shirika la Mafuta la Kitaifa limesema ufungaji huo unafanywa na viongozi wa kabila la mashariki kupinga dhidi ya serikali inayoungwa mkono na Umoja wa Mataifa.
Limesema kuwa ufungaji huo umesababisha hasara ya dola bilioni 3.8 tangu Januari 17.
Kampuni ya kitaifa ya mafuta imesema inawataka wale waliohusika na kufungwa kwa haramu kukomesha kitendo hicho ili kuinusuru sekta ya mafuta, wafanyikazi wa sekta hiyo pamoja na raia.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |