Operesheni inayoongozwa na Shirika la Polisi la Kimataifa Interpol imewakamata baadhi ya watuhumiwa wa kimataifa nchini Kenya, Tanzania, Uganda na DRC. Ili kuimarisha mapambano dhidi ya ugaidi, Operesheni hiyo inayoitwa Simba II imeimarisha uwezo wa polisi wa mstari wa mbele kutambua msafiri kama ni gaidi au mhalifu kwa kutumia mifumo ya shirika hilo iliyowekwa kwenye viwanda vya ndege na forodha za ardhini.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |