Alitoa agizo hilo wakati wa ziara ya Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Mkoa ambayo ilitembelea Bandari ya Kiwira, zilipoegeshwa meli hizo ambazo zimejengwa na serikali kwa zaidi ya Sh. bilioni 21 kupitia Mkandarasi mzawa Kampuni ya Songoro Marine.
Chalamila alisema kitendo cha meli hizo zilizotengenezwa kwa gharama kubwa kuegeshwa kwenye maji kwa muda mrefu bila kufanya kazi ya uzalishaji ni hasara na kwamba ni bora TPA wangeishauri serikali isizitengeneze.
Alisema hakuna sababu ya mizigo zikiwamo ndizi zinazozalishwa wilayani Rungwe kusafirishwa kwenda nchi jirani ya Malawi kwa kutumia magari wakati meli hizo zipo na hazifanyi kazi.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |