Wizara ya biashara ya China imesema, hali ya matumizi ya China imeonesha mwelekeo wa kufufuka katika siku tano za mapumziko za Sikukuu ya Wafanyakazi Duniani. Msemaji wa wizara hiyo Bw. Gao Feng amesema, kiwango cha wastani cha mauzo ya biashara za rejareja kimeongezeka kwa asilimia 32.1 ikilinganishwa na siku za mapumziko za siku ya kuwakumbuka marehemu ya mwezi Aprili.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |