Naibu Waziri wa Nchi ofisi ya Makamo wa pili wa rais, Mihayo Juma Nhunga, alisema hayo wakati akitoa ufafanuzi na kujibu hoja za wajumbekwa mwaka wa fedha 2020-2021.
Aliitaja baadhi ya miradi ambayo imeyumba ni pamoja na ukarabati mkubwa wa jengo la Baraza la wawakilishi katika baadhi ya maeneo.
Juma alisema katika mwaka wa fedha wa 2020/21, serikali ilijipanga kujikita kudhibiti uharibifu wa mazingira katika baadhi ya mabonde ya kilimo katika kisiwa cha Pemba, na maji ya chumvi yanaingia katika mashamba ya wakulima.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |