Kenya itapokea $ 739 milioni kusaidia kurahisisha kupambana na janga la Virusi vya Corona ambalo limeiacha nchi na mahitaji makubwa ya kifedha.
Uganda itapokea $ 491.5 milioni kufadhili afya, kinga ya jamii na hatua za utulivu wa uchumi kando na kushughulikia usawa wa malipo na mahitaji ya kifedha.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |