Kwa mujibu wa taarifa kutoka kw benki hiyo uamuzi huo umefikiwa na kamati ya sera ya fedha ya Bodi ya BoT na kutoa ahueni kwa taasisi za fedha.
Ilibainisha kuwa lengo la hatua hizo ni kudumisha uthabiti wa sekta ya fedha na upatikanaji wa huduma za fedha nchini.
Hatua zilizochukuliwa ni kushusha kiwango cha chini cha kisheria cha sehemu ya amana kinachotakiwa kuwekwa BoT kutoka asilimia saba hadi sita, kuanzia Juni 8, mwaka huu.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |