• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Tanzania: Soko la pareto duniani lata moyo wakulima Tanzania

    (GMT+08:00) 2020-05-13 20:38:12
    Wakulima wa pareto nchini wametakiwa kuondoa hofu ya kukosa soko msimu ujao wa mavuno, kutokana na janga la virusi vya corona.

    Badala yake wamehakikishiwa kuwa kuna biashara ya malighafi hiyo inazidi kuimarika duniani.

    Hayo yalilezwa na Mratibu wa zao hilo kutoka Kampuni ya Pareto Tanzania (PCT), Michael Bishubo, wakati akizungumzia maandalizi ya kilimo cha zao hilo msimu huu.

    Bishubo alisema licha ya uchumi wa dunia kuathiriwa kwa kiasi kikubwa na janga la COVID-19, lakini soko la zao hilo halijatetereka kutokana na malighafi yake kuwa umuhimu pamoja na mahitaji makubwa duniani.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako