Hali hiyo inachangiwa na changamoto za usafirishaji kutokana na janga la virusi vya corona.
Ripoti ya kila mwezi ya Benki kuu ya Uganda inaonyesha kuwa tangu mwezi Machi 2020 uagizaji bidhaa ulipungua kwa asilimia 10 hadi $ 492m (Sh1.8 trilioni).
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |