Bashungwa alizungumza wakati akishuhudia shehena ya sukari tani 20,000 iliyowasili katika Bandari ya Mwanza nchini Tanzania, kutoka Uganda mwishoni mwa wiki jana.
Ameongeza kuwa licha ya sukari hiyo kushushwa Mwanza, pia na mkoa wa Dar es Salaam wanaedelea kushusha. Tayari mikakati imewekwa kuhakikisha kwamba hakutakuwa na kupanda kwa bei ya sukari kote nchini. Mfanyibiashara yeyote atakayepatikana na hatia ya kupandisha bei ya sukari, atachukuliwa hatau kali.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |