Mwakilishi wa Jimbo la Amani, Rashid Ali Juma, alisema kauli za Magufuli zimewatia moyo wananchi wengi na sekta muhimu ya utalii kwa kutaka kuona kwamba shughuli hizo zinarudi katika siku za hivi karibuni kwa sababu janga la ugonjwa wa corona limeanza kudhibitiwa.
Naye Mwakilishi wa Jimbo la Konde, Omar Seif Abeid, alisema wakati umefika sasa kwa kamisheni ya utalii kujiweka sawa kwa maandalizi ya kuanza kufanya mawasiliano ya safari za watalii kuja nchini.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |