Hatua hiyo pia inatarajiwa kupunguza hatari ya kuambukiza wahudumu wa afya na virusi hivyo.
Roboti hizo zimezinduliwa nakwa ushirikiano wa wizara ya afya na shirika la Umoja wa Mataifa la Maendeleo UNDP katika hospitali ya Kanyinya inayotibu COVID-19.
Roboti hizo zitaweza kupima hali joto, kukusanya data, kuwatambua watu wasiovalia mask, na kuwapa wagonjwa chakula na dawa.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |