Mswada wa sheria ya mambo ya kiraia unapitishwa na bungle la China kwenye mkutano wake wa mwaka ulioanzia siku ya Ijumaa.
Sheria hiyo yenye vifungu 1260 ni majumuisho ya sheria na taratibu mbalimbali zinazohusu mambo ya kiraia, na inahusu haki za kila raia wa China. Ndiyo maana inafuatiliwa sana na jamii ya watu wa China.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |