• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Kenya: Uuzaji wa chai kwa masoko makuu matatu kwa Kenya wapungua

    (GMT+08:00) 2020-05-27 19:56:57
    Uuzaji wa chai kwa masoko makuu matatu kwa Kenya umepungua katika robo ya kwanza ya 2020 wakati ulimwengu unakabiliwa na janga la Covid-19 na athari zake kwa biashara ya kimataifa.

    Takwimu kutoka kwa Kurugenzi ya Chai zinaonyesha uuzaji nje wa bidhaa hiyo kwenda Pakistan uliongezeka kwa asilimia 15, huku nazo Misri na Uingereza ukipungua kwa asilimia 10 kila mmoja.

    Pakistan, ambayo ni soko kuu la chai la Kenya, lilipunguza uagizaji wake hadi kilo milioni 42 kutoka kilo milioni 49.3 katika robo iliyopita.

    Misiri ilipunguza kwa kilo milioni 2.8, na Uingereza milioni 1.3.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako