Akichanganua kauli yake Waziri Yi, mhadhiri katika chuo kikuu cha Multimedia jijini Nairobi, na mchanganuzi wa masuala ya kidiplomasia Bwana Omondi Osano, anasema kwamba hii itakuwa afueni kwa ustawi wa uchumi wa Afrika.
Aidha, bwana Osano anapendekeza kwamba China ijaribu kuwekeza katika sekta mbali mbali, mijini na mashinani ili kuwafaa wote.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |