Mamlaka ya Afya ya Umma nchini Ufaransa imeripoti vifo vingine 13 vinavyotokana na COVID-19 katika saa 24 zilizopita, idadi ambayo ni ndogo zaidi tangu Machi 10, na kuifanya idadi ya jumla ya vifo nchini humo kufikia 29,155.
Mamlaka hiyo pia imethibitisha maambukizi mapya 343 na kuifanya idadi ya jumla ya watu walioambukizwa virusi vya Corona nchini Ufaransa kufikia 153,977.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |