Maduka hayo ni lililo eneo la Nyali na lile la Rex House ambapo haya mawili ni ya mjini Mombasa, lile la Thika na lile la Lavington Mall yamefungwa hii leo Jumanne hadi Juni 11 watakapomaliza shughuli hiyo.
Aidha kampuni hiyo imetangaza kwamba itakuwa ikiendeleza shughuli hiyo ya unyunyuziaji wa dawa mara kwa mara.
Kwenye taarifa iliyochapishwa na Safaricom na kusambazwa kupitia akaunti yake ya Twitter kampuni hiyo ya mawasiliano imesema itakuwa inafanya shughuli hiyo mara kwa mara.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |