Uganda imeanza kusambaza barakoa zaidi ya milioni 30 bila malipo kote nchini humo, ikiwa ni sehemu ya juhudi zinazofanywa na nchi hiyo kuzuia kuenea kwa virusi vya Corona.
Makamu wa kwanza wa waziri mkuu Bw. Moses Ali alizindua zoezi hilo linalowalenga raia wote wa Uganda wenye umri zaidi ya miaka sita.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |