Waziri wa afya wa Ghana Bw. Kwaku Agyemang-Manu amepimwa na kuthibitishwa kuambukizwa virusi vya Corona.
Rais Nana Addo Dankwa Akufo-Addo wa nchi hiyo ametangaza habari hiyo kupitia redio, huku akimtakia waziri huyo apone haraka kutoka maambukizi hayo.
Rais huyo pia ametangaza kifo cha meya wa mji wa Sekondi-Takoradi Bw. Kobina Sama kutokana na virusi vya Corona.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |