Kikosi cha 15 cha wahandisi wa kulinda amani cha China kimekamilisha ukarabati wa kambi kumi za Tume ya Umoja wa Mataifa katika eneo la Darfur nchini Sudan, ambazo zinatarajiwa kukabidhiwa kwa serikali ya Sudan, baada ya tume hiyo kukaribia kumaliza majukumu yake nchini humo.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |