Polisi nchini Nigeria wamesema wanausalama wasiopungua 23 wanaojitolea wameuawa baada ya watu wenye silaha wanaoshukiwa kuwa ni majambazi kushambulia kijiji kimoja kwenye eneo la Maru, katika jimbo la Zamfara, kaskazini magharibi mwa nchi hiyo kati ya Jumamosi na Jumapili.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |