Nchi wanachama wa Umoja wa Mataifa, nchi waangalizi na nyingine, zilitoa ishara kubwa ya kisiasa wiki hii kufuatia tangazo kuwa nchi 170 zimeunga mkono mwito uliotolewa na Umoja wa Mataifa kusitisha mapambano, na kusimama pamoja dhidi ya changamoto ya COVID-19 inayoikabili dunia nzima.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |