• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • China yaunga mkono mchakato shirikishi wa amani nchini Afghanistan

    (GMT+08:00) 2020-06-26 08:49:26

    Mjumbe wa kudumu wa China katika Umoja wa Mataifa Balozi Zhang Jun, amesema China inaunga mkono mchakato shirikishi wa amani nchini Afghanistan, na iko tayari kutoa jukwaa la mazungumzo ya ndani kwa ajili ya Afghanistan. Serikali ya Afghanistan na Kundi la Taliban wameweka msingi kwa mazungumzo ya ndani kwa kubadilishana wafungwa. Bw. Zhang amesema China inapongeza hatua hii, na kutaka pande zote kufikia makubaliano kuhusu mipango ya mazungumzo ya ndani juu ya mwundo wa kisiasa wa nchi hiyo.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako