Shirika la Afya Duniani WHO limetangaza kuwa, hadi mchana wa leo tarehe 29 Juni kwa saa za Ulaya ya Kati, idadi ya maambukizi ya virusi vya Corona kote duniani imefikia 10,004,707.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |